Yanga SC imeingia makubaliano na kocha Mzambia, George Lwandamina huku uongozi wa timu hiyo ukimbakiza kocha Hans Van der Pluijm raia wa Holland na kupewa majukumu mapya kama mkurugenzi wa ufundi ndani ya club hiyo.
Hans Pluijm ameweka historian yaje ndani ya kikosi hicho cha jangwa kwa kuwawezesha kwa Mara ya kwanza kufika katika hatua ya makundi ya michuano ya Caf Confederation Cup 2016.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment