LIVERPOOL YAPATA PIGO.

Liverpool itapitia katika wakati mgumu kama mshambuliaji wao maarufu Phillipie Coutinho hatarudi mapema uwanjani, hii ni kutokana na majeraha aliyopata dhidi ya club ya Sunderland.

Haijafahamika mpaka sasa mchezaji huyo mwenye uraia wa nchini mbazili amepata majeraha yenye ukubwa gani na bado haidhibitishwa rasmi atakaa nje ya uwanja kwa kipindi gani japo kwa mtazamo wa haraka mchezaji huyo amepata majeraha makubwa.

No comments:

Post a Comment

H. E SAMIA SULUHU HASSAN

 Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...