BONDIO THOMAS MASHALI AFARIKI DUNIA

Radio Free Africa katika kipindi chake cha michezo asubuhi kilitangaza kifo cha ghafla cha bondia Thomas Mashali. Thomas ni bondia aliyeleta changamoto kwenye gemu na kuifanya tasnia ya ngumi nchi ichangamke. Chanzo cha kifo chake inadaiwa kuwa kimesababishwa na kipigo cha wananchi hapo maeneo ya kumara.

No comments:

Post a Comment

H. E SAMIA SULUHU HASSAN

 Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...