MR.BENSON WA SIRI ZA FAMILIA AFARIKI DUNIA.

Aliyekuwa muigizaji was tamthilia ya siri za familia inayorushwa na kituo cha televisheni cha EATV ndugu Haji Jumbe almaarufu kama Mr.Benson afariki Dunia na mwili wake kuzikwa Leo huko mkoani Pwani.

No comments:

Post a Comment

H. E SAMIA SULUHU HASSAN

 Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...