Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja kati ya wanyama wenye wivu sana duniani.
Nyegere anangozi wanangozi ngumu ambayo hata zana za jadi kama mishale au mkuki hazipiti pia ana meno makali na magumu sana yenye uwezo wa kupasua hata jumba la kobe.
Mnyama huyu hupenda sana asali na huwa mkali sana pale anapogungua umegusa mzinga wa asali aliouachia hatufu yake atakufuata popote pale ulipo hadi akupate na kulipiza kisasi.
Hupatikana zaidi katika maeneo ya Afrika Mashariki na kati.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment