NANI KUWA MCHEZA BORA WA BBC 2016?

November 28 mashabiki wote kutoka kila kona ya dunia watapiga kura kumchagua mchezaji bora wa mwaka wa BBC.

Wafuatao ndio wachezaji ambao wanawania tuzo hizo ambao wanachezi ligi mbalimbali barani ulaya huku wengi wao wakitoka katika ligi kuu ya nchini England na mchezaji mmoja tu ndio anayetoka katika ligi kuu ya nchi Ujerumani.

Nao in:-
Aubameyang.
Andre Ayew.
Riyad Mahrez.
Sadio Mane.
Yaya You're.

No comments:

Post a Comment

H. E SAMIA SULUHU HASSAN

 Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...