Serikali imesena inaangalia uwezekano wa kupunguza kodi ya ongezeko la dhamani (VAT) ambayo kwa sasa ni 18% ili kulingana na kiwango ambacho wanatoza majirani zetu Kenya na Ethiopia.
Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa kituo cha uwekezaji (TIC) Bw. Clifford Tandari amesema hayo katika mkutano baina ya serikali na wawekezaji kutoka nchini Ubelgiji, ambao wapo nchini kuangalia fursa ya uwekezaji katika sekta ya kilimo na usafirishaji.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment