Viongizi hao wanefanya hivyo kwa dhana juu ya Shirikisho la Kimataifa la Moira wa miguu (FIFA) inayosisitiza uungwana katika soka ikisema: "my game is fair play"
Kwa hali halisi ya uchumi kwa sasa, timu hizo zimezungumza had I kufikia mwafaka wa kiwango kisichozidi sh milioni 200 kutoka $ 600,000 (zaidi ya sh milioni 1,200 au bilioni 1.2).
Mazungumzo ya wikiendi hii yanakwenda kukamilisha mvutano wao, kama ambavyo walikubaliana kwenye kikao kilichoketi Jana November 03, 2016.
Madai makuu ya simba no dhidi ya mchezaji Hassan Jessy na dhidi ya club ya Young Africans kudaiwa kuvunja mkataba na kuingilia makubaliano mapya wakati tayari mchezaji alijuwa na mkataba na club hiyo yenye maskani yake mtaa wa msimbazi, kariakoo jijini Dar es salaam.
Upande wa Young Africans, uliwakilishwa na kaimu katibu mkuu, Baraka Deysdedit wakati kwa upande wa Simba alikuwa, Mwenyekiti wa kamati ya usajili, Zacharias Hans Poppe.
Katika kikao hicho ambacho Msuluhishi wake ni wakili Said El-Maamry hakuhudhuria kwa sababu za udhuru, Baraka wa Young Africans aliongozana na mjumbe wa kamati ya utendaji was Young Africans, Omar Said pamoja na Mawakili Osca Magolosa na Alex Mushumbusi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment