Mshambuliaji wa Poland Robert Lewandowski ilibidi apatiwe matibabu baada ya kupigwa na fataki lililotupwa na mashabiki wake wa nyumbani na kulipuka karibu take wakati was mchezo wa kutafuta nafasi ya kucheza fainali za kombe la Dunia dhidi ya Romania.
Mchezaji huyo wa Bayern Munich hakupata majeraha yeyote ila alipatwa na mshutuko kutokana na tukio hilo lililofanyika mapema kipindi cha pili na kulazimisha mchezi huo kusimana kwa dakika kadhaa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment