Katibu mkuu wa NATO Jens Stoltennburg amemuonya Rais mteule wa Marekani Donald Trump dhidi ya kufanya maamuzi ya kipekee, akisema kuwa sio chaguo la muungano wa Ulaya ama hata Marekani.
Amesema kuwa mataifa ya magharibi yalikabiliwa na changamoto take kuu ya kiusalama.
Wakati wa kampeni zwke za uchaguzi bwana Trump aliutaja muungano huo wa kijeshi wa mataifa ya magharibi kama uliopitwa na wakati.
Alisema kuwa Marekani itafikiri Mara mbili kumsaidia mwanachama yeyote wa muungano huo ambaye ameshambuliwa iwapi hajalipa kodi yake ya uwanachama.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment