Ni usajili ambao unasubiriwa kwa hamu kubwa sana pale mchezaji Antoine Griezmann atakapohamia katika jiji la Manchester kukipiga katika Club ya Manchester united japo kocha wake wa sasa amesema mchezaji huyo hana mpango wa kuihama club hiyo.
Lakini mawakala wa Manchester wanaendelea kuishawishi familia ya mwanasoka huyo kuona namna ya kupata huduma ya nyota huyo.
Griezmann hana wakala wa kusimamia mambo yake ya kisoka lakini anapata ushauri kutoka katika familia yake kuhusiana na maisha yake ya mpira.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment