Huwezi kupoteza habari ya Mesut Ozil kuhusu mkataba wake na club ya Arsenal. Kitu hiki kilikaa kwanye vichwa mbalimbali vya vyombo vya habari za michezo. Ozil kama alivyotegemezi katika kikosi cha Arsenal, anategemewa asaini mkataba mpya kabla ya alionao kuisha.
Mkataba wake wa sasa unaishia nwaka 2018 na jinsi club nyingi zinavyopenda kumpata mchezaji huyo lazima amwage wino mapema. Sasa hivi imeripotiwa kipindi hiki cha mechi za kimataifa, wawakilishi wa Ozil walikutana na Arsenal na makubakiano yamefanyika kusaini mkataba mpya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment