Msuva alikuwa na washindani wa karibu wawili katika kinyang'anyiro hicho cha oktoba ambao wote ni kutoka Simba. Wachezaji hao ni Shiza Kichuya na Mzamiru Yassin
Katika mwezi oktoba ambao ulijuwa na raundi sita, Msuva aliisaidia timu yake kupata jumla ya point 14 huku akifunga mabao manne na kutoa pasi tano za mwisho.
Kwa kushinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi, Msuva ambaye alikuwa mchezaji bora wa ligi hiyo msimu wa 2014/15 atazawadiwa kitita cha sh. Milioni moja kutoka kwa wadhamini wa ligi hiyo kampuni ya vodacom Tanzania.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment