Mchezaji Sebastian Abreu amevunja rekodi ya Dunia kwa kujiunga na club yake ya 23. Baada ya kujiunga na club ya Brazil "Bangu" ambapo amefikia uhamisho wa mara ya 28 ambao umefanyika ndani ya nchi 9.
Hivi sasa Abreu ana miaka 40, amecheza kwa miaka 22 na kote amecheza michezo 251. Club kubwa aliyowahi kuichechezea ni Deportivo La Coruna.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment