CHRIS BROWN ASHINDA KESI.

RnB star Chris Brown has won a case against a female fan who invaded his house and said he loved this star and wants to give him sex.
The woman known as Danielle Patti was arrested the first time outside the home of Chris Brown December last year and in April this year made another la uvamizi kwenye nyumba ya Chris Brown na kukamatwa na polisi.

Mahakama imempa adhabu ya kukaa mbali na Chris Brown kwa miaka mitano na kwa sasa Dada huyo yupo kwenye hospitali ya wagonjwa wa akili chini ya ulinzi mkali wa madaktari.

No comments:

Post a Comment

H. E SAMIA SULUHU HASSAN

 Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...