MALI ZA CUF ZAKAMATWA.

Akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya ofisi za chama hicho cha siasa hapa nchini kwenye ofisi yao Buguruni jijini Dar es Salaam, Naibu Mkurugenzi wa habari na uenizi wa CUF taifa Bw. Abdul Kambaya amesena magari hayo yamekutwa yakiwa yamefichwa kwa kada mmoja wa Chama kimoja maatufu hapa nchini kwa  sababu zisizoeleweka.

Kukamatwa kwa nagari hayo kunafuatia mpasuko uliotokana  na tofautina kiuongozi ndani ya chama hicho ambapo upande mmoja unamtii Katibu Mkuu wake Maalim Seif Sharif Hamad huku upande mwingine ukimtii Mwenyekiti wake Profesa Ibrahim Lipumba.

Tofauti hizo ndio zilizozaa wazo la kurejeshwa kwa Mali zote za chama hasa baada ya kubaini kuwa sehemu ya mali hizo zipo mikononi mwa viongozi waandamizi.

No comments:

Post a Comment

H. E SAMIA SULUHU HASSAN

 Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...