Akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya ofisi za chama hicho cha siasa hapa nchini kwenye ofisi yao Buguruni jijini Dar es Salaam, Naibu Mkurugenzi wa habari na uenizi wa CUF taifa Bw. Abdul Kambaya amesena magari hayo yamekutwa yakiwa yamefichwa kwa kada mmoja wa Chama kimoja maatufu hapa nchini kwa sababu zisizoeleweka.
Kukamatwa kwa nagari hayo kunafuatia mpasuko uliotokana na tofautina kiuongozi ndani ya chama hicho ambapo upande mmoja unamtii Katibu Mkuu wake Maalim Seif Sharif Hamad huku upande mwingine ukimtii Mwenyekiti wake Profesa Ibrahim Lipumba.
Tofauti hizo ndio zilizozaa wazo la kurejeshwa kwa Mali zote za chama hasa baada ya kubaini kuwa sehemu ya mali hizo zipo mikononi mwa viongozi waandamizi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment