WANAWAKE WAMEGOMA KUKAA NYUMBANI NA KULEA WATOTO.

Mkoani Mtwara wanawake wameamua kuchukua pikipiki na kuendesha kwa lengo la kufanya biashara ijulikanayo kwa jina maarufu kama bodaboda.

Wanawake hao wamekuwa wakiaminiwa zaidi na wananchi kwa kuwa wanaendesha vyombo hivyo vya moto kwa utaratibu na kwa umakini was hali ya juu.

No comments:

Post a Comment

H. E SAMIA SULUHU HASSAN

 Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...