Ligi kuu ya soka Tanzania, mzunguko was 15 unaomaliza duru la kwanza mwezi huu, unatarajiwa kuchezwa wikiendi hii kwa timu 12 kuchuana kwenye viwanja mbali mbali.
Jumapili,
African Lyon vs Simba uwanja wa Uhuru dar es salaam.
Mbao Fc vs Azam Fc uwanja CCM kirumba.
Ndanda Fc vs Stand United uwanja Nangwanda.
Tanzania prisons vs Young Africans uwanja Sokoine.
Kagera Sugar vs Ruvu shooting uwanja Kaitaba.
JKT Ruvu vs Toto Africans uwanja Mabatini.
Ligi hiyo itaendelea tens Jumatatu kwa michezo miwili.
Mtibwa sugar vs Mbeya city uwanja Manungu.
Mwadui vs Majimaji uwanja mwadui complex.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment