Bungeni, kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, Freeman Mbowe amedai wabunge wa CCM wamehongwa shilingi milion 10 kila mmoja ili wasaidie kupitisha muswada was habari.
Mbowe amesema kikao hicho kilifanyika mnamo tarehe 25/10/2016 SAA mbili usiku na kiliongozwa na waziri mkuu akiwa na katibu mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment