Leo tutashuhudia mchezo mkali na wenye upinzani mkali sana katika ligi ya nchini Hispania pale vigogo wawili katika ligi hiyo na mahasimu kutoka katika mji mmoja wa Madrid wakitoana jasho.
Wakati huo Real Madrid anaongoza ligi hiyo akiwa na point 27 huku mahasimu wao Atletico Madrid wakiwa katika nafasi ya nne na point zao 21.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment