Kaimu katibu Mtendaji wa NACTE Bw. Adofl Rutayunga amewaanbia waandishi wa habari Jana jijini Dar es Salaam kuwa hatua hizo zimefuatia kutokana na mapungufu yaliobainika katika ukaguzi wa Mara kwa mara unaofanywa na baraza hili.
Bw. Rutayunga amesema ukiukwaji huo wa sheria na taratibu umesababisha elimu iliyokuwa inatolewa na vyuo hivyo kutokidhi matakwa ya kisheria na kitaaluma na hivyo kuleta usumbufu na hasara isiyo ya lazima kwa wanafunzi na wazazi wa wanafunzi wa vyuo husika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment