Ulikuwa ni mchezo wa kirafiki, lakini huenda kocha wa England Gareth South gate hakufurahishwa na kikosi chake kushindwa kulinda ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Hispania.
Kiungo wa Real Madrid Isco alifunga bao dakika ya 96 na kuisawazishia timu yake baada ya Lago Aspas kufunga bao la kwanza dakika ya 89 ikiwa ni mchezo wake wa kwanza kuitumikia timu ya taifa ya Hispania.
Magoli kutoka kwa Adam Lallana na Jamie Vardy yaliwapa faida Three Lions kuwa mbele lakini baada ya filimbi ya mwisho matokeo vyalisomeka England 2-2 Spain.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment