Aliyekuwa wazili wa elimu katika serikali ya amawu ya tatu iliyokuwa ikiongozwa na rais William Benjamin Mkapa, Joseph Mungai amefariki dunia.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotufikia waziri huyo wa elimu wa serikali ya awamu ya tano alifariki Jana.
Tunakuombe upumzike kwa Amani Mh. Joseph Mungai.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment