BABA YAKE Mh. MIZENGO PINDA AFARIKI.

Baba mzazi wa waziri mkuu mstaafu Mh. Mizengo Linda, Mzee Xavery Kayanza Linda amefariki dunia Leo majira ya saa 9:30 alasiri katika hospitali ya mkoa wa Dodoma maarufu kwa jina la hospitali ya General akiwa na miaka 90.

"Bwana ametoa na Bwana ametwaa, jina la  Bwana libarikiwe"

No comments:

Post a Comment

H. E SAMIA SULUHU HASSAN

 Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...