Nyota wa club ya Barcelona Neymar ameruhusiwa na kocha wa club hiyo kuhangaikia mambo yake ya uhamisho kwenda katika club ya PSG baada ya kufika KATIKA viwancha vya mazoezi.
Uhamisho wa mchezaji huyo kwenda PSG wa £198 ndio utakuwa uhamisho wa bei ya juu kabisa na kuvunja rekodi ya mchezaji mmoja kusajiliwa kwa bei kubwa zaidi duniani awali rekodi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na Paul Pogba akitokea Juventus kwenda Manchester United.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment