Mchezaji wa Club ya Azam FC yupo njiani kurejea nyumbani akitokea nchini Morocco KATIKA Club ya Difaa Hassan Al Jadid inayoshiki ligi kuu ya Nchini Morocco.
Kurejea kwake Nchini kumetokana na kuingiwa tamaa kwa wakala wake alipompeleka kufanya majaribio na kusababisha mchezaji huyo kushindwa kufanya makubaliano na kusaini mkataba wa kuichezea Club huyo ya Nchini Morocco.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment