TAMAA ZA WAKALA ZAMPONZA RAMADHAN SINGANO NA KUREJEA NYUMBANI.

Mchezaji wa Club ya Azam FC yupo njiani kurejea nyumbani akitokea nchini Morocco KATIKA Club ya Difaa Hassan Al Jadid inayoshiki ligi kuu ya Nchini Morocco.

Kurejea kwake Nchini kumetokana na kuingiwa tamaa kwa wakala wake alipompeleka kufanya majaribio na kusababisha mchezaji huyo kushindwa kufanya makubaliano na kusaini mkataba wa kuichezea Club huyo ya Nchini Morocco.

No comments:

Post a Comment

H. E SAMIA SULUHU HASSAN

 Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...