Lilikokuwa jengo la biashara jijini Dar es salaam linaendelea kuteketea kwa moto huku wafanyabiashara mbali mbali wakishindwa kuokoa vitu vyao na inasadikika kuwa chini ya gorofa hilo kuna fremu za wafanya biashara.
Jeshi la uokoaji na zimamoto lipo katika eneo la tukio wakihangaika kukabiliana na moto huo japo wanainchi waliokuwa eneo la tukio wamelilalamikia jesho la zima moto na uokoaji kuchelewa kufika eneo la tukio japo wanakabiliwa na wananchi wengi waliojitokeza kuushuhudia moto huo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment