Jeshi la uokoaji na zima moto limefanikiwa kuuzima moto uliowaka katika gorofa moja la wafanya biashara lililopo maeneo ya kariakoo huku moto huo ukiwa umeteketeza mali zote zilizokuwa ndani na sehemu kubwa ya jengo hilo likiwa limeteketea kwa moto.
Mpaka sasa jeshi hilo la uokoaji bado lipo katika eneo la tukio kumalizia malizia baadhi ya sehemu korofi na kuhakikisha wanauzima kabisa moto huo na kuliacha jengo hilo likiwa halina ashiria zozote za moto au moshi wenye kuleta madhara mengine badae.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment