KOMBE LA DUNIA LA FIFA 2018 RUSSIA.

Yamebaki masaa machache fainali za kombe la Dunia kuanza huko Nchini Russia na takribani timu 32 sawa na mataifa 32 yanashiriki mashindano hayo makubwa zaidi Duniani na yenyekuteka hisia za watu mbali mbali wapenda soka Duniani kote.

Hivyo tunakuwa pamoja kuwaletea dondoo mbali mbali za soka kutoka Nchini Russia ambako mashindano hayo yatakuwa yanafanyika.

No comments:

Post a Comment

H. E SAMIA SULUHU HASSAN

 Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...