TRA WAPONZWA NA SERENGETI BOYS.

Waziri wa michezo Harrison Mwakyembe aliwajua jua afisa wa TRA baada ya maadisa hao wa TRA kulisimamisha basi walilokuwa wamepanda vijana wa Serengeti boys waliokuwa wakienda kwenye mwaliko walioalikwa na makamu wa Rais mama Samoa Suluhu Hassani kwa pamoja wakapate chakula cha jioni.

Mwakyembe amesema uamuzi walioutumia watu was TRA haukuwa wa kiungwana baada ya kuwashusha wachezaji kwenye mabasi waliokuwa wamepanda hivyo kuwalazimu maafisa wa TFF kutafuta njia mbadala ya kuwafikisha vijana hao kwa makamu wa Raid.

Hata hivyo waziri Hugo mwenye dhamana ya michezo nchini ameishauri au kuwashauri maafisa wa TRA kutumia njia mbadala za ukusanyaji wa kodi kwani kodi ni muhimu sana kwa maendeleo ya Taiga kwa ujumla huku akiwasisitiza kuangalia upya utaratibu wanaoutumia pindi wanapoenda kudai kodi hizo.

SERENGETI BOYS KUKWEA PIPA LEO KWENDA MOROCCO.

Timu ya vijana inayoliwakilisha taifa katika michuano ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 maarufu kwa jina LA Serengeti boys leo majira ya saa 10:15 jioni watakwea pipa hadi nchini Morocco.

Msafara huo unajumuisha jumla wa watu 31 ambao wanaondoka leo kwwma huko kuweka kambi ya mwezi mmoja huku wakijianda na kujifua vikali kabla ya kuelekea Gabon ambako michuano hiyo itafanyika mwezi ujao.

KILICHOJIRI KATIKA MAGAZETI YA TANZANIA LEO.

Leo katika vichwa mbali mbali vya magazeti ya Tanzania, zikiwemo habari, michezo na burudani. Kwa maelezo zaidi soda 

































kwa maelezo zaidi soma #www.millardayo.com

DAKIKA 10 ZAIPAISHA SERENGETI BOYS VS GHANA.

Dakika 10 za mwamuzi zaipaisha Serengeti boys kwa kupata sare ya magoli mawili kwa mawili dhidi ya wapinzani wao Ghana ikiwa ni mchezo wa kirafiki wa vijana wa umri chini ya miaka 17.

Baada ya dakila ya 21 na 75  vijana hao was Ghana walijipatia magoli yao kupitia kwa Sulley Ibrahim na Arko Mensah na kufanya dakika zote 90 Ghana kuwa mbele kwa magoli 2.

Kutokana na wachezaji wa Ghana kuanguka mara kwa Mara na kusababisha dakika nyingi kupotea ndipo mwamuzi akaongeza kakika 10 na kuifanya Serengeti boys kuzitumia dakika hizo vizuri kwa kujipatia magoli mawili huku moja kati ya hilo likifungwa kwa njia ya tuta baada ya beki was Ghana kuunawa mpira katika harakati za kuokoa.

Magoli ya Serengeti boys yalifungwa na Assad Juma kwa njia ya tuta, huku furaha ya watanzania ikirudishwa na Muhsin Makame kwa kufunga goli la pili katika dakika za mwisho za mchezo na kufanya matokeo kusomeka 2-2 mpaka mwisho wa mchezo.

KOCHA MSAIDIZI WA AZAM FC IDD CHECHE AKUBALI YAISHE.

Azam Fc wakubali yaishe, kocha msaidizi wa Azam Idd Cheche amekiri kuwa timu yao inanafasi ndogo kushinda ubingwa wa Vodacom premium league baada ya kukubali kipigo cha bao moja kutoka kwa wapinzani wao Yanga SC.

Kocha huyo msaidizi wa Azam amesema kwa upande wao wananafasi ndogo sana kushinda kombe na hivyo wameelekeza nguvu zao nyingi katika Lusaka heshima kwa kupata nafasi mzuri za juu katika msimamo wa ligi.

SAMATTA KATUPIA MBILI KAMBANI.

Mshambuliaji tegemeo wa Tanzania na club ya KRC Gent Mbwana Samatta baada ya kuisaidia Taiga Stars kuifunga Botswana kwa bao mbili katika mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu hatimaye anarejea katika club yake ya Genk na kuisaidia kupata ushindi mnono wa mabao 4.

Samatta alifunga magoli mawili katika mchezo huo wa ligi na kuisaidia timu take kupata point tatu muhimu na kuongoza kundi B kwa tofauti ya magoli huku wakilingana kwa point na club ya Kortrijk.

Michezo hiyo ya play of ya ligi kuu ya nchini Ubelgiji imemfanya mchezaji Mbwana Samatta kungara katika michuano hiyo na kumuwezesha mcjezaji huyo kuifunhia club yake magoli mawili na kuipa point za kuongoza kundi.

H. E SAMIA SULUHU HASSAN

 Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...