Azam Fc wakubali yaishe, kocha msaidizi wa Azam Idd Cheche amekiri kuwa timu yao inanafasi ndogo kushinda ubingwa wa Vodacom premium league baada ya kukubali kipigo cha bao moja kutoka kwa wapinzani wao Yanga SC.
Kocha huyo msaidizi wa Azam amesema kwa upande wao wananafasi ndogo sana kushinda kombe na hivyo wameelekeza nguvu zao nyingi katika Lusaka heshima kwa kupata nafasi mzuri za juu katika msimamo wa ligi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment