Waziri wa michezo Harrison Mwakyembe aliwajua jua afisa wa TRA baada ya maadisa hao wa TRA kulisimamisha basi walilokuwa wamepanda vijana wa Serengeti boys waliokuwa wakienda kwenye mwaliko walioalikwa na makamu wa Rais mama Samoa Suluhu Hassani kwa pamoja wakapate chakula cha jioni.
Mwakyembe amesema uamuzi walioutumia watu was TRA haukuwa wa kiungwana baada ya kuwashusha wachezaji kwenye mabasi waliokuwa wamepanda hivyo kuwalazimu maafisa wa TFF kutafuta njia mbadala ya kuwafikisha vijana hao kwa makamu wa Raid.
Hata hivyo waziri Hugo mwenye dhamana ya michezo nchini ameishauri au kuwashauri maafisa wa TRA kutumia njia mbadala za ukusanyaji wa kodi kwani kodi ni muhimu sana kwa maendeleo ya Taiga kwa ujumla huku akiwasisitiza kuangalia upya utaratibu wanaoutumia pindi wanapoenda kudai kodi hizo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment