DIAMOND PLATNUM NA ZARI WAPATA MTOTO WAO WA PILI.

Ni Disemba 06, 2016 Diamond Platinum na mzazi mwenzake Zarina Hassan wamepata mtoto wa pili na Diamond kupost katika ukurasa wake wa Instram na kueleza furaha yake hiyo.

Mama Tiffah amefanikiwa kujifungua salama huko nchini Aftika Kusini na kubahatika kupata mtoto wao wa kiume.

No comments:

Post a Comment

H. E SAMIA SULUHU HASSAN

 Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...