MAGOLI YOTE MANCHESTER CITY V CHELSEA

Ulikuwa in mchezo mgumu kwa timu zote mbili lakini Chelsea ndio walioibuka na ushindi wa magoli 3 kwa 1 huku magoli ya Chelsea yakifungwa na Diego Costa, William na Hazard, huku goli la kufutia machozi kwa upande wa Manchester City ni goli la kujifunga la Cahill.

No comments:

Post a Comment

H. E SAMIA SULUHU HASSAN

 Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...