Katika mechi ambazo mashabiki wa soka kote duniani wanakuwa wakiisubiria kwa hamu kubwa ni mchezo kati ya Barcelona na Real Madrid maarufu kwa jina la El Clasico.
Wikiend hii mashabiki watashuhudia El Clasico pale miamba miwili ya nchini Hispania itakapokutana, Real Madrid ipo katika kiwango kuzuri zaidi baada ya mechi ya mwisho kabla ya kukutana na Barcelona wakipata ushindi wa mabao 6 kwa moja, huku Barcelona wakilazimisha sare ya kufungana bao moja kwa moja dhidi ya Herculas.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment