Baada ya miezi 7 ya kukaa nje ya kikosi kutokana na kupata maumivu ya kifundo cha mguu, hatimaye Welbeck ameanza kufanya mazoezi na kukimbia uwanjani.
Striker huyu wa England na club ya Arsenal alipata tatizo msimu uliopita mwezi wa tank kwenye mechi dhidi ya Manchester city na mechi kuisha kwa suluhu.
Bado ni mapema kusema lini Welbeck atarejea kwenye kikosi cha kwanza cha Arsenal lakini inatarajiwa mpaka kufikia mwanzoni mwa mwaka 2017 anaweza kurudi uwanjani akiwa amepona kabisa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment