Report ya daily Record iliripoti kuwa mocha wa Manchester united amemkodolea macho mchezaji wa Barcelona Neymar ambaye anaonekana anataka sana kutoka nje ya Hispania kwa sasa.
Vilabu mbalimbali vya nchini England vimepewa taarifa kuhusu matakwa ya Neymar licha ya kuwa na mkataba na Barcelona. Mourihno anajua kwamba atahitaji kuongeza juhudi na umakali kwenye safu ya ushambuliaji klabuni halo ili kupata magoli mengi zaidi.
Itawalazimu Manchester kulipa zaidi ya paund 180 million ili kuweza kumuhamisha Neymar kwena Manchester.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
H. E SAMIA SULUHU HASSAN
Baada ya kifo cha aliyekuewa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayari John Pombe Joseph Magufuli, aliekuwa makamu wake mama Samia S...
-
Habari kubwa kwenye vichwa vya magazeti ya Tanzania leo june 28, 2018, tukianza na Udaku , Michezo na Hardnews ...
-
Nyegere ni mnyama asiyeogopa chochote mile kwani anauwezo wa kuwakabili wanyama wakali na wakubwa kama simba au chui na wasimdhuru, ni mmoja...
-
Karibu tena, ni asubuhi nyingine tunakuleta habari mbalimbali za vichwa vya magazeti ya nyumbani Tanzania leo July 04, 2018, tukianza na...
No comments:
Post a Comment